Wapinzani wakuu wa Bw Museveni wanatarajiwa kuwa Amama Mbabazi na Kizza Besigye, ambao walikuwa marafiki wake wakuu wakati mmoja.
"Nasikia watu wakizungumza kuhusu kupiga vita ufisadi. Utawezaje kukabiliana na ufisadi ilhali twasikia ukiomba huyu na yule wajiunge nawe?” amesema.
"Lazima uwe na uwezo,” ameongeza Bw Museveni.
Hii ni mara ya kwanza kwa Bw Mbabazi, aliyekuwa waziri mkuu wakati mmoja, kuwania urais.
Bw Museveni ameongoza Uganda tangu 1986.

Kampeni zitaanza Novemba 9 (BBC swahili)
0 comments:
Post a Comment