umojannguvu.blogspot.com

Tuesday, 8 September 2015

Lowassa: Msikose usingizi

MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, ameisimamisha tena Dar es Salaam kwa saa kadhaa huku akiwataka Watanzania kutokosa usingizi kwani hakuna kura itakayoibwa. Lowassa alisema hayo jana jijini Dar es Salaam kwa nyakati tofauti alipokuwa kwenye mikutano ya kampeni Wilaya ya Kinondoni katika majimbo ya Kawe na Kibamba. Akiwa...

Mkutano Ukawa wakatishwa kwa vurugu

JESHI la polisi mkoani Mtwara jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi ili kurejesha hali ya amani katika mkutano wa Chadema uliofanyika katika viwanja vya Mashujaa mjini hapa. Mkutano huo ambao vyama vya siasa vya upinzani vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi (Ukawa) vilialikwa, ulikuwa na lengo la kuwatambulisha wasanii wa filamu na wa muziki wa kizazi kipya wanaomuunga mkono mgombea urais wa chama...

NUH MZIWANDA: SIONI TATIZO KWA MSANII KUONESHA MAHABA KWA CHAMA ANACHOKIPENDA

  Nuh Mziwanda amewataka wasanii kuwa wazalendo kwa kuonyesha hisia zao za vyama vya siasa na kuonyesha ushirikiano katika kuhamasisha. Akizungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio leo, Nuh alisema maendeleo yatakayopatikana ni manufaa kwa watanzania wote kwa ujumla. “Wewe ukiwa msanii sio kwamba sio mwananchi wa kawaida,” alisema. “Wewe pia unahitaji kutawaliwa vizuri. Unahitaji utawala mzuri ambao utaongoza...

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA WAGANGA WAKUU LEO JIJINI DAR

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal,akizungumza na wananchi kwenye ufunguzi wa  mkutano wa Mwaka wa waganga wakuu wa Mikoa,halmashauri na wakurugenzi wa Hospitali za Rufaa hapa nchini  katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ubungo Plaza jijini Dar es Salaam leo. Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

CHAT BOX

Post zilizo tumwa

Recent Posts Widget

Tangaza Biashara yako mtandaoni

TANGAZA BIASHARA NAMI HAPA KWA BEI NAFUU KABISA

Unaweza kutangaza biashara yako sasa na hlmservice pia uta pata kujua mambo mengi ambayo mbali na biashara yako unaweza ukatengeneza pesa kwa namna moja ama nyingine kama jinsi nilivo elezea katika Makala za nyuma hapo

Wafanya biashara wengi wanatumia mda mwingi namna gani ya kukuza biashara zao ,Ili uweze kufanikiwa kwa kiasi kikubwa unahitaji kuitangaza biashara yako ili kuwa na mtandao mkubwa na wateja wako ,ni vyema ukatangaza biashara yako katika mitandao ili bidhaa zako zijulikane kwa haraka na upesi .

Pia wewe mfanya biashara ukiitaji kuwa na blog yako wasiliana nami kwa mawasiliano hapo chini , bei ni nafuu kabisa

Pia ukiitaji kuitangaza biashara yako kupitia blog yangu bei ni ndogo kabisa huu ni wakati wako wewe mfanya biashara

+255758061575 & +255684860817

henrylameck@gmail.com

henrylameck90@yahoo.com

Tukuyu Tour & Safari

Vadacom Ni Zaidi

Tembelea g2g.fm upate movie Kali

Tembelea g2g.fm upate movie Kali

Kilimo Kwanza

Hlm servise

Latest movie

Movies

Computer books

Computer books