umojannguvu.blogspot.com

Thursday 20 August 2015

TOA SHOTCUT VIRUS KATIKA FLASH YAKO BILA YA KUWA NA UNTIVIRUS



JIFUNZE KUTOA SHOTCUT VIRUS HAPA



FAHAMU KUHUSU VIRUS 

Virus, ni program ambazo zimetengenezwa kwa madhumuni ambayo wewe mtumiaji wa kompyuta hauyahitaji ndio maana hata jinsi vinavyoingia kwa kompyuta ni kwa kuvizia kutokufahamu kwako kuwa program hizo zinafanya nini na kwamba zinaingia humo kwa kompyuta. Virusi huingia kwa kompyuta fulani kwa njia mbalimbali mfano kwa kusambazwa kwa email, kwa kusambazwa kwa kutumia flash disk, CD,DVD, au kwa kubofya ‘link’ yenye kubeba kirusi husika kwa kompyuta iliyounganishwa na internet.


Kuna sababu kadhaa kwanini watu watengeneze Virusi;

Sababu za kibiashara: Baadhi hutengeneza virusi ili waweze kuuza Program za kuzuia virus (Anti-virus), na wengine hutengeneza virusi ili waweze kuua biashara za washindani wao.

Wizi: Baadhi ya watu hutengeneza virusi ili waweze kuiba taarifa fulani fulani za wengine, ikiwemo password, taarifa za mbinu za kibiashara, taarifa nyingine za kiutendaji na kimaendeleo n.k

Kuna aina mbali mbali za virus ambazo ni kama Trojan, Worm, na Virus

Watu wengi sana wanasumbuliwa na virus mmoja anae fanya files zote katika flash yako ama computer yako kuwa shotcut (Shotcut virus)

Mara nyingine virus huyu anaweza kuya ficha ma file yako ukadhani yame futika kumbe bado yapo katika flash yako , Watu wengi wanapo ona tatizo hilo wanadhani flash zao haziwezi kufanya kazi tena basi leo nakutoa hofu kabisa kwamba hilo sio tatizo kwako tena kwasababu ntakupa njia rahisi Zaidi na haraka sana uweze kuifanya flash yako kuwa salama wakati wote

Muonekano wa shotcut file  


Katika computer yako kuna program ina itwa (cmd) au command prompt hii program ndio suruhisho la kusolve tatizo lako


JINSI YA KUONDOA VIRUS TAZAMA NJIA ZIFUATAZO

NJIA YA KWANZA
Bonyeza button ya window+R kisha andika  cmd bonyeza Enter button , Command prompt itafunguka
Kisha andika jina la flash yako ama drive yako iliyo athirika kwa virus kwa mfano 



E:  kisha bonyeza enter

Baada ya hapo andika zode hii  attrib -h -s -r -a /s /d e:*.*


Au tazama attrib -h -s -r -a /s /d Drive-Name:*.*

Ukisha andika code hapo juu uta bonyeza Enter button file za virus zitajitenga na file ambazo ni salama sasa utakacho kifanya ni ku futa shotcut zote

NJIA YA PILI

Toa Shotcut virus kwa .bat file unaweza tengeneza .bat file kwa kutumia notepad program katika computer yako
Fungua notepad file kwa ku bofya window key + R kisha andika notepad
Copy code hapa chini kisha 
@echo off
 
attrib -h -s -r -a /s /d Drive-Name:*.*
 
attrib -h -s -r -a /s /d Drive-Name:*.*
 
attrib -h -s -r -a /s /d Drive-Name:*.*
 
@echo complete
 
Badilisha Driver name kwa jina la flash yako
 
Save notepad file kama removevirus.bat kisha save. Hakikisha umesave file yako juu ya Desktop 
 
Kisha fungua file yako uliyo save katika Desktop
 
Baada ya hapo shotcut virus wote watatoka
 
NJIA YA TATU
 
Unaweza toa shotcut virus kwa program ina itwa Shotcut Virus remover .Baada yak u download program yako itaonekana kama hivi
 
 

Baada ya kuchagua flash yako unayo hitaji kutoa virus kisha 
bofya scan Button
 
 
 
Ukisha maliza kuscan basi uta Bofya delete button kuondoa shotcut

Download shotcut virus remove hapa 

http://www.shortcutremover.com/download/index.php

Kwa maoni , Ushauri , maelezo zaidi wasiliana nami  kwa mawasiliano hapo chini

+255765327325     henrylameck@gmail.com




1 comment:

  1. Toa Shotcut Virus Katika Flash Yako Bila Ya Kuwa Na Untivirus ~ Computer Services >>>>> Download Now

    >>>>> Download Full

    Toa Shotcut Virus Katika Flash Yako Bila Ya Kuwa Na Untivirus ~ Computer Services >>>>> Download LINK

    >>>>> Download Now

    Toa Shotcut Virus Katika Flash Yako Bila Ya Kuwa Na Untivirus ~ Computer Services >>>>> Download Full

    >>>>> Download LINK vO

    ReplyDelete

Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

CHAT BOX

Post zilizo tumwa

Recent Posts Widget

Tangaza Biashara yako mtandaoni

TANGAZA BIASHARA NAMI HAPA KWA BEI NAFUU KABISA

Unaweza kutangaza biashara yako sasa na hlmservice pia uta pata kujua mambo mengi ambayo mbali na biashara yako unaweza ukatengeneza pesa kwa namna moja ama nyingine kama jinsi nilivo elezea katika Makala za nyuma hapo

Wafanya biashara wengi wanatumia mda mwingi namna gani ya kukuza biashara zao ,Ili uweze kufanikiwa kwa kiasi kikubwa unahitaji kuitangaza biashara yako ili kuwa na mtandao mkubwa na wateja wako ,ni vyema ukatangaza biashara yako katika mitandao ili bidhaa zako zijulikane kwa haraka na upesi .

Pia wewe mfanya biashara ukiitaji kuwa na blog yako wasiliana nami kwa mawasiliano hapo chini , bei ni nafuu kabisa

Pia ukiitaji kuitangaza biashara yako kupitia blog yangu bei ni ndogo kabisa huu ni wakati wako wewe mfanya biashara

+255758061575 & +255684860817

henrylameck@gmail.com

henrylameck90@yahoo.com

Tukuyu Tour & Safari

Vadacom Ni Zaidi

Tembelea g2g.fm upate movie Kali

Tembelea g2g.fm upate movie Kali

Kilimo Kwanza

Hlm servise

Latest movie

Movies

Computer books

Computer books