umojannguvu.blogspot.com

Sunday 23 August 2015

Iran na Uingereza kufungua balozi zao

Uingereza na Iran zinatarajiwa kufungua balozi kwenye miji yao mikuu licha ya kuwepo uhusiano mbaya katika ya Iran na nchi za magharibi.




Waziri wa mashauri ya kigeni wa Iran Philip Hammond anatarajiwa kuwasili mjini Tehran kwa sherehe hizo.

Atakuwa afisa wa kwanza wa ngazi ya juu zaidi wa Uingereza kuzuru Iran tangu miaka 12 iliyopita.

Ubalozi wa uingereza ulifungwa mwaka 2011 wakati ulisakwa na waandamanaji.

Makubaliano ya nyukia ya mwezi uliopita kati ya Iran na mataifa yenye nguvu duniani yametoa njia ya kuboreshwa kwa uhusiano kati yao.Taarifa toka bbc leo

0 comments:

Post a Comment

Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

CHAT BOX

Post zilizo tumwa

Recent Posts Widget

Tangaza Biashara yako mtandaoni

TANGAZA BIASHARA NAMI HAPA KWA BEI NAFUU KABISA

Unaweza kutangaza biashara yako sasa na hlmservice pia uta pata kujua mambo mengi ambayo mbali na biashara yako unaweza ukatengeneza pesa kwa namna moja ama nyingine kama jinsi nilivo elezea katika Makala za nyuma hapo

Wafanya biashara wengi wanatumia mda mwingi namna gani ya kukuza biashara zao ,Ili uweze kufanikiwa kwa kiasi kikubwa unahitaji kuitangaza biashara yako ili kuwa na mtandao mkubwa na wateja wako ,ni vyema ukatangaza biashara yako katika mitandao ili bidhaa zako zijulikane kwa haraka na upesi .

Pia wewe mfanya biashara ukiitaji kuwa na blog yako wasiliana nami kwa mawasiliano hapo chini , bei ni nafuu kabisa

Pia ukiitaji kuitangaza biashara yako kupitia blog yangu bei ni ndogo kabisa huu ni wakati wako wewe mfanya biashara

+255758061575 & +255684860817

henrylameck@gmail.com

henrylameck90@yahoo.com

Tukuyu Tour & Safari

Vadacom Ni Zaidi

Tembelea g2g.fm upate movie Kali

Tembelea g2g.fm upate movie Kali

Kilimo Kwanza

Hlm servise

Latest movie

Movies

Computer books

Computer books