umojannguvu.blogspot.com

Thursday 20 August 2015

Je hali ya wachimba dhahabu TZ itaimarika ?





Kwa watu wengi, pete ya dhahabu ni ishara ya upendo wa milele, lakini mara nyingine simulizi za jinsi dhahabu hiyo ilivyopatikana huwa si ya kufurahisha sana.

Tanzania ni mzalishaji wa nne wa dhahabu barani Afrika - lakini mamia ya maelfu ya wachimbaji wadogo wadogo nchini humo hufanya kazi katika mazingira magumu sana huku wakipata ujira mdogo.

Lakini inawezekana hili likabadilika kufuatia mpango mpya ulioandaliwa na shirika la Fairtrade kuuza dhahabu hiyo Uingereza - mpango huu ni wa kwanza wa aina yake barani Afrika.

Mwandishi wa BBC Tulanana Bohela anaarifu kutoka eneo la machimbo ya dhahabu nchini Tanzania.

0 comments:

Post a Comment

Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

CHAT BOX

Post zilizo tumwa

Recent Posts Widget

Tangaza Biashara yako mtandaoni

TANGAZA BIASHARA NAMI HAPA KWA BEI NAFUU KABISA

Unaweza kutangaza biashara yako sasa na hlmservice pia uta pata kujua mambo mengi ambayo mbali na biashara yako unaweza ukatengeneza pesa kwa namna moja ama nyingine kama jinsi nilivo elezea katika Makala za nyuma hapo

Wafanya biashara wengi wanatumia mda mwingi namna gani ya kukuza biashara zao ,Ili uweze kufanikiwa kwa kiasi kikubwa unahitaji kuitangaza biashara yako ili kuwa na mtandao mkubwa na wateja wako ,ni vyema ukatangaza biashara yako katika mitandao ili bidhaa zako zijulikane kwa haraka na upesi .

Pia wewe mfanya biashara ukiitaji kuwa na blog yako wasiliana nami kwa mawasiliano hapo chini , bei ni nafuu kabisa

Pia ukiitaji kuitangaza biashara yako kupitia blog yangu bei ni ndogo kabisa huu ni wakati wako wewe mfanya biashara

+255758061575 & +255684860817

henrylameck@gmail.com

henrylameck90@yahoo.com

Tukuyu Tour & Safari

Vadacom Ni Zaidi

Tembelea g2g.fm upate movie Kali

Tembelea g2g.fm upate movie Kali

Kilimo Kwanza

Hlm servise

Latest movie

Movies

Computer books

Computer books